Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waaapi Ndg Yangu Imepambana Kufungwa..!Ukiacha kosa moja la mwisho likazaa goli ......binafsi timu imepambana .....
Ibrahim bacca Safi .....himid mao Safi na wengineo.....👏
Hivi leo mmedhamiria kuniumiza mbavu namna hii Wakuu daaah [emoji1]
Mpira unauma sana ukiupenda,tumepigwa sucker punch mbaya sana nimeumia kwakweli.
Samatta anaruka ruka tu hana impact yoyote bora hata acheze kibu deniss
Hili ndio kosa lilotufanya tupigwe,ukiangalia Mzamiru na Himid walikuwa wanabattle vizuri pale kati. Ila alivyo watoa Himid na Mzamiru nikajua hapa tutapotea mda si mrefu, sababu Mudathir ni mzuri ila si kwenye kukaba,Fei hana match fitness naye sio mzuri kwenye kukaba, so dk 10 za mwisho Waganda wakachukua kabisa dimba lao kati.Kabisa..saa hizi Aucho yuko huru
Huyo Kibu hata kutuliza mpira haweziHalafu kuna watu wanabeza uwepo wa mtu kama Kibu. Kibu siyo mchoyo, akipata mpira anatafuta mtu anampa nafasi nzuri, hawa kina Samatta na Msuva wanataka wakimbie na mpira wafunge wenyewe. Wamemuambukiza hata Sopu mambo hayo.
😂😂😂😂PISI KALI wangu twende zetu kule kwenye uzi wetu wa Chelsea FC upate raha la sivyo utajifia mapema bure kabla ya siku zako [emoji3]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyo Faisal hovyo kabisa hajaleta impact yoyote kazi kurukaruka na kuanguka. Bora wangemuacha Punda wetu amalizie game kabisa. Pumbavu zakeUnamuingizia feisal hajacheza mechi ya ushindi takribani miezi minne sasa.
Kocha nae anafanya sub za kishamba kabisaa, mpira wa miguu km hauwezi kushinda basi hakikisha haifungwi
Pale matumaini yanapokuwa tofauti na matokeo.Huyo Kibu hata kutuliza mpira hawezi
Itaje kwa uchacheSerikali iwekeze nguvu kwenye michezo mingine mpira sio fani yetu sisi wamatumbi
Huyo Kibu hata kutuliza mpira hawezi
Pole sana Mama la Mama, nina zaidi ya miaka mitano imepita sijawahi kuifuatilia kabisa Taifa Stars maana sipendagi kabisa vitu vinavyonikosesha amani ya rohoni [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante wa blue mwenzangu, ila nyumbani ni nyumbani tu no mara waaa..!!