SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kibu angekuwa msaada mkubwa katika game kama ya leo. Amekuwa na utulivu sana miezi ya hivi karibuni. Hao kina Sopu wanacheza leo utadhani wameahidiwa udiwani, wanakimbia kimbia tu na mipira.Huyo Kibu hata kutuliza mpira hawezi