FT: Tanzania 0-1 Uganda | AFCON Qualifier | Benjamin Mkapa Stadium | 28.03.2023

FT: Tanzania 0-1 Uganda | AFCON Qualifier | Benjamin Mkapa Stadium | 28.03.2023

Umeme unawaka Umeme unakata.. Hawa ni TANESCO tu ndio wanaskiaga raha.. Na wanawez wasikate wote wanaachia umeme mdogo Mpambane
 
Vitu vya bure bure hivi, hizi ndiyo gharama zake 🤣😂🤣
 
Mtu wa tanesco atakua aliweka 3+ akaona wanaruka ruka
 
Kwamba wachezaji wanakuwa wengi au.. Nini reason behind hilo tatzo maana hata mchana kivuli kipo
Kwanza kulinganisha mchana na usiku hapo sio sawa pili nimekwambia usiku taa kama zinawaka vizuri huwezi kuona kivuli cha mchezaji na hii sio kwa mkapa tu.
 
Back
Top Bottom