Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza ikawa ni shoti katika Transfomer automatically ikaji switch off...wakija kurekebisha ndo wanawasha au kama tatizo ni la muda inaweza kujiwasha
Mechi inaendelea hukoHata la mashoga bado hatujalianza...limetokea hili..
Hii inchi hii ...
Unatosha,mlio kwenye TV, mwanga unatosha au wameforce?
Tena sisi wakazi wa wilaya ya temeke ndio hata hawatujali kabisaUmeme unawaka Umeme unakata.. Hawa ni TANESCO tu ndio wanaskiaga raha.. Na wanawez wasikate wote wanaachia umeme mdogo Mpambane
Sio mpira tu, kila kitu, bongo tunaishi kama kuku tu,tuko hai kwasababu tu hatujakufa,hamna sababu nyingine.Sema bongo mpira bado kabisa asee
Huyu mtangazaji wa Dstv anavyoichombeza hiyo Hakuna Matata. Tena anairudia rudia!HAKUNA MATATA bhanaa nchi y Mazombi
Jikaze best....tutafika hivo hivo kama taifaKuna muda ni aibu sana kuwa Mtanzania jamani, tchaaah'..!!😂😂
Haya tuendelee hebu..!!
Hatari kwelTena sisi wakazi wa wilaya ya temeke ndio hata hawatujali kabisa
mlio kwenye TV, mwanga unatosha au wameforce?