Wala haihusiani na umeme, ni taa mbovuInaweza ikawa ni shoti katika Transfomer automatically ikaji switch off...wakija kurekebisha ndo wanawasha au kama tatizo ni la muda inaweza kujiwasha
AloohHivi hawa wanaobeba mabango ya mama uwanjani wana lipwa.?
Tutegemee kumsikia mama akisema, hilo nalo mkalingalie..
Sio makamanda akina OKW BOBAN SUNZU kweli? [emoji1787]Mashabiki wameshaanza kuimba tunataka haki zetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa sijui ni haki gani
Watu wamesema mtu aliekata atimuliwe kazi...ndo maana ya maelezo yangu..
🤣🤣🤣🤣Daah! Mbavu zanguu jamani!!!Kiherehere cha Kupanga Mechi Usiku Kinawatokea puani..!
Goma Lingechezwa Saa nane Mchana hili..Sa hivi Hawa Uganda tungekuwa tushamalizana Nao..!
Kiwanja wawape wanajeshi tu raia kazi imewashindaKwakuwa wachezaji wameshapumzika vya kutosha, Umeme ukirudi hakuna haja ya
Kwanza kulinganisha mchana na usiku hapo sio sawa pili nimekwambia usiku taa kama zinawaka vizuri huwezi kuona kivuli cha mchezaji na hii sio kwa mkapa tu.Kwamba wachezaji wanakuwa wengi au.. Nini reason behind hilo tatzo maana hata mchana kivuli kipo
Nakazia 🤣🤣🤣Mtu wa tanesco atakua aliweka 3+ akaona wanaruka ruka