Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Fei TototooooooooopNamuona Fei toto anaingia
Kagame Cup, inawashwa Ambulance kumulika pale walipogawia Kombe,2010 Kama sio 2011 nakumbuka kaseja alikuwa na taa ya cm.
Pia 2017 mechi ya shirikisho Kati ya Simba vs Al masry nako taa zilizima
KweliHumid na Mzamiru hizi sub kocha kachemka mmoja angetakiwa abaki.
Wabongo hawapitwagi na kitu,aaahaaaha
Mtani kwanini uteseke na timu ya mchongo nakati Simba inakupa kile unachokipenda?Timu ya Taifa letu haitaendelea kwa sababu watanzania tuna midomo sana