Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha masihara aisee...Nahodha wa Uganda, Emanuel Okwi mwenye miaka 30 anasema wana uhakika wataibuka na alama 3 na kufufua matumaini ya The Cranes kufuzu.View attachment 2568893
Ulitaka wafanye nnTBC wapo busy na miaka miwili ya mama samia utasikia hakika amefanya makubwa ambayo tangu uhuru hatujapata kuona
Watuonyeshe hii gameUlitaka wafanye nn
Uganda?Kila lenye kheri Uganda.
Game haitakuwa Nyepesi hata kidogo...Majira ya Saa 2:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki, Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itashuka dimbani Benjamin Mkapa kuwaalika Uganda (The Cranes) katika mchezo wa nne wa kundi F kuelekea kufuzu Afcon mwaka 2023..
Taifa Stars yenye point 4 iliyopo nafasi ya pili nyuma ya vinara Algeria ambao washafuzu itashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu yakuibuka na ushindi wa 1-0 siku chache zilizopita.
Taifa Stars ikishinda itafikisha alama 7 na kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu kwa mashindano hayo makubwa na adhimu kwa bara la Afrika kwa mara ya 3 katika historia ya mashindano hayo.
Tujitokeze kwa wingi tushangilie timu yetu ya Taifa, hatuna timu nyingine jamani.
Mechi itakuwa mubashara AzamtV, Dstv kupitia chaneli 225 ya kifurushi cha POA.
Kila la heri Taifa Stars!
Kila la heri Tanzania!!!
Kwanini mkuu mbona sio mchezaji mbayaHuyu dismass ni unga hamna kitu