nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Hii sabu hata mm sikuilelewa kabisa na hapa ndipo tulikosea yaan kocha kashindwa tafuta droo tu mida ile jaza viungo wa kutosha toa washambuliajiUnamtoa Shabalala anaingia Luhende? Unawatoa Mzamiru na Mao aisee
Hela ishaandikiwa na ishatoka ila imekosa kutumika, je unadhani itarudi tena hazina? Big NOHata mie nimeumia Sana Kufungwa..!
Ila Mjue Kodi Za WaTz Zimenusurika....!
Hizi Ahadi Za Mama sometimes Lzm zikutafakarishe Wewe kama Mtanzania..!
Mashabiki wako mbali mnooo.Yaani unakuta wachezaji wapo Makkah mashabiki wako madina 😂😂😂
Samata ni mzigo wa maviTimu yetu bhana...haibebeki hata tuipende vipi[emoji23]
.Mechi haitakuwa rahisi kwa Taifa Stars ila tunawaombea angalau sare
Yaani hawajaonesha kushambulia kabisaTimu inacheza kama wana mabusha
Nakazia
PISI KALI wangu twende zetu kule kwenye uzi wetu wa Chelsea FC upate raha la sivyo utajifia mapema bure kabla ya siku zako [emoji3]daaaaaamn'...!!
Et kibu huyu naeHalafu kuna watu wanabeza uwepo wa mtu kama Kibu. Kibu siyo mchoyo, akipata mpira anatafuta mtu anampa nafasi nzuri, hawa kina Samatta na Msuva wanataka wakimbie na mpira wafunge wenyewe. Wamemuambukiza hata Sopu mambo hayo.
Kama hapo milioni zaidi ya 100 zimepoteaMama anachezea sana hela zetu kwenye soka la kibongo
Dadeki
Imepambana vipi mpira ulikuwa unaboa kila mtu anajichezea tu.Ukiacha kosa moja la mwisho likazaa goli ......binafsi timu imepambana .....
Ibrahim bacca Safi .....himid mao Safi na wengineo.....👏
Yule kinachombeba sijui nini, hata alipotolewa katoka kwa madaha wakati hatujafunga.Nakazia
Leo approach ya gemu haikua sahihi hasa ukizingatia tupo nyumbani tuliingia kutafuta sare which is wrong,muda mwingi wa mchezo timu ipo chini sana, benchi la ufundi limefeli leo.tujizoe Zoe tuangalie mechi zijazo tunafanyaje.