FT: Tanzania 0-1 Uganda | AFCON Qualifier | Benjamin Mkapa Stadium | 28.03.2023

Mechi haitakuwa rahisi kwa Taifa Stars ila tunawaombea angalau sare
 
Kila la heri Taifa Stars...

Mechi ya leo ni ngumu sana kwa Stars, kuna kitu kinaniambia tunapoteza hii mechi...

Eenh Mungu epushilia mbali...
 
Game haitakuwa Nyepesi hata kidogo...
Hawana budi kukaza sana
 
Uniform za benchi la ufundi zimekaa kama za Yanga bana. Ni kama khanga imevaliwa juu ya blauzi. Mambo ya Sheria Ngowi haya nini 🤣😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…