Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
Aibu aibu aibu!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amalura.ASANTE unakunywa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mechi ihamishiwe chamanzi, hamna kupoa chap chap watu wawahi chamanzi Azam Complex game iendelee
Tumejawa na upumbavu, badala ya kujali miundo mbinu tunathamini kutamka Rais kanunua magoli milioni kadhaa na sifa mama Samia mama Samia! Mpaka mnaleta picha zake uwanjani.Waziri Mkuu katoa simu sasa sijui anamuomba msamaha Samia?
Umenifanya niwaze kuhusu treni ya umeme, si tutalala porini mpaka tusubiri umeme urudi?Hizo Million 500 si mngerekebisha Taa uwanjani.Hii nchi ni majanga, aibuuu. Mmekalia kupinga ushoga tuuu,vitu vya msingi mmesahau.
Hizo si zilikuwa za sifa ya Samia?Hizo Million 500 si mngerekebisha Taa uwanjani.Hii nchi ni majanga, aibuuu. Mmekalia kupinga ushoga tuuu,vitu vya msingi mmesahau.