FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

Ebana Kibu wa leo ni mwingine kabisa

Sijui ni misumari pale kilabuni kwanguu..[emoji848][emoji848]
 
Taifa Stars kama wapo mazoezini vile. Sioni hata malengo ya wachezaji kutafuta magoli. Back passes za kutosha!!

Yaani wameingia kwenye mfumo wa timu ya Niger!! Wakiotewa goli, ndiyo basi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…