Alikuja Yanga kwa mkopo wa mwaka mmoja ambao umekwisho; kuagwa baada ya kumaliza kazi alifuata siyo jambo la ajabu.Wakati tukiendelea na mpira wa Taifa sio mbaya kuwapa taarifa za Club katikati ya mechi View attachment 2661456
Wakati tukiendelea na mpira wa Taifa sio mbaya kuwapa taarifa za Club katikati ya mechi View attachment 2661456
Caption ya post kutoka Yanga haijasema hivyoAlikuja Yanga kwa mkopo wa mwaka mmoja ambao umekwisho; kuagwa baada ya kumaliza kazi alifuata siyo jambo la ajabu.
Kweli aisee; Taifa starts ni ya aibu sana. Wakicheza na Ruvu Stars wataoka sare !Hapa ni
PWAGU na PWAGUZI tu
Hajui mpira hayumoAdebayo yupo humo uwanjani ?
Mimi naona hata Polisi Tanzania au Ruvu Shooting wangeweza kuondoka na ushindi mnono.Hii Taifa Stars inaweza kufungwa hata na Mbeya City!
Dah....waipenyeze na ya manywele mida hii wakati watu wanafocus na mechi ya taifaWakati tukiendelea na mpira wa Taifa sio mbaya kuwapa taarifa za Club katikati ya mechi View attachment 2661456
Alikuja kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Morocco, na anarudi Morocco alikotoka kwenda kumalizia mkataba wake halisi huko.Caption ya post kutoka Yanga haijasema hivyo
Spartak Subotica ipo Serbia
Morroco hawawezi kumkubali watasema tulivyowapa hakuwa hivyoAlikuja kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Morocco, na anarudi Morocco alikotoka kwenda kumalizia mkataba wake halisi huko.
Naskia bado Bangala na Djuma ShabaniDah....waipenyeze na ya manywele mida hii wakati watu wanafocus na mechi ya taifa
Timu ina makocha kama 10 lakini wapii. Mi nashauri tungekuwa na timu ya taifa full time inayocheza ligi kuu. Niliwahi kutoa huu ushauri. Hii ya kukaa siku 3 kambini halafu mechi hatuiwezi.Wachezaji wazito, control ball ni zero, hawana maamuzi ya haraka , wavivu kukaba , hawajitumi wapo wapo tu ilimradi mechi iishe waendelee na mambo yao
Kwa kifupi morali ipo chini mnooooo!! Sa sijui mama hajawaahidi mzigo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Morroco hawawezi kumkubali watasema tulivyowapa hakuwa hivyo
Mmemuaribu kijana wetu