msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Ni ligi ya sita mkuu na sio ya Tano kama tulivyokua tukiambiwaNaangalia hapa mpira wa Chama langu Simba na prison, ninayo yaona nafsi imekataa kabisa kuamini kwamba hii ni ligi ya tano kwa ubora kama tunavyoaminishwa, sasa napiga picha hiyo ligi ya mwisho kwa ubora sijui wanachezaje.
Ilibakia kidogo..lile la Malone
Hawezi kukubali kwenda shambani kuna tope jingi kule 😂Mpeleke mbarari
Haupo mwenyewe tuliaYa nini..
!??muda hatuna
hapana kwa kuwa mechi zake ni nadra kukosekana penati ama red cardKwakua Simba Sc kasawazisha.?
🤣H
Hawezi kukubali kwenda shambani kuna tope jingi kule 😂
Hizi timu tunashabikia tu ilatukiswma tuangalie mapingufu bila kujali timu, makandokando yapo ya kutosha.Kisa Simba kashinda Leo?
Pathetic
Yupo sanaaaWanataka afukuzwe kwakuwa yeye ndie anaewaingizia wachazaji mfumo ambayo si rafiki kwao. Maana yake ni kwamba falsafa zake zinapishana na aina ya wachezaji alionao, na kwakuwa hawezi kubadilika basi angalau atupishe.
Million 25 za yanga zinashindwa kuzaa matunda.😂Kumekucha tena,
Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.
Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.
Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.
View attachment 2772703Mchezo umenza
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, Oktoba 5, 2023
Updates.
12' Tanzania Prisons Wanaongoza goli 1-0, mfungaji ni Edwin Balua
31' Clatous Chama anasawazisha akimalizia pasi ya Shomari Kapombe
45' John Bocco anafunga goli la pili
Kipindi cha kwanza kimekamilika
Kipindi cha pili kimeanza
Phiri anaingia kuchukua nafasi ya John Bocco
84' Simba wanapata penati, baada ya Phiri kuchezewa faulo na kipa
85' Saido anafunga kwa njia ya mkwaju wa penati