Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamaliza winoNdio sababu moda wameona mechi ichezwe Kibubu bubu
Go west go east... Malizia mwenyewe 😄😃😀Kuna wachezaji either wanaihujum timu au viwango vyao vimeporomoka miongon mwao ni Maz Zingeli🚮🚮🚮
Siku hizi apigwi sindano lazima mmuone kama anategeaKuna wachezaji either wanaihujum timu au viwango vyao vimeporomoka miongon mwao ni Maz Zingeli[emoji706][emoji706][emoji706]
😂😂😂😂Siku hizi apigwi sindano lazima mmuone kama anategea
Kila mmoja anamuona mwenzake anakosea.Yanga Kila Mmoja ni Kocha...
Baka anaonyesha Diarra abadilishwe..
Hakuna timu hapo mjukuu. Tutapigwa hata khamsa leo. Hata sijui nini kimetokea kwa Yanga hii iliyokuwa ya moto majuzi tu hapa. Sad!Diarra anatoka nje, Ameumia.
Vyura kipindi cha pili watacharukaMwanzo Gongowazi walikuwa wanafika kwenye box la Mazembe na kutengeneza hatari lakini ile sub ya Tp Mazembe imekata kabisa huo mwanya
Kwanza Babu ulipotelea wapii?Hakuna timu hapo mjukuu. Tutapigwa hata khamsa leo. Hata sijui nini kimetokea kwa Yanga hii iliyokuwa ya moto majuzi tu hapa. Sad!