Kachukua nafasi ya "Player cum Coach" ya Aziz Ki.Yanga Kila Mmoja ni Kocha...
Baka anaonyesha Diarra abadilishwe..
Max yupo vizur mbona?Kuna wachezaji either wanaihujum timu au viwango vyao vimeporomoka miongon mwao ni Maz Zingeli[emoji706][emoji706][emoji706]
Kitu ambacho hata Mimi NimeshangaaaYanga Kila Mmoja ni Kocha...
Baka anaonyesha Diarra abadilishwe..
HAlafu kainyima Timu yangu ya Mazembe goli lakeHivi Moderator ni timu gani mpaka asiweke Live