Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #381
Привет, товарищ
Lina mashaka hili 😃😀😀
Wanadhani jina la mwakarobo ni rahisi kulipata
Point 😅 sufuri na gori sufuri ☺️😊☺️😊ukisikia timu inaaga mashindano kwa alama sifuri ndio haya yanayoendelea
Chezaji linaruka kichwa kama Cristiano Ronaldo linaruka juu na kuchambua na Goli kabisaWameona mna vijeba nyuma mna pigwa mipira mirefu .kibabage ana baki kuhemea chini
Bado game 1,TP Lindanda…
Kwahiyo jamani ndio tumetolewa au…
Watakufa kiume....😂😂😂Wanadhani jina la mwakarobo ni rahisi kulipata
😀😀😃😃😃😃😃😃 unazingua 😀😃😃
Hapana yule Mlokole bhana, hana mambo hayo.Anachovya chovya sana mitaani
Kwa tv ya Sundar au Aborder lile sio goliHili goli la mazembe mpira umevuka mstari wote kwa 100% kweli?/😀😀😀
acha kuwafariji safari imeiva awa ata wapewe game nyingine kumi mbele hawatoboiBado game 1,