Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa dakika hizi sijui.... labda kama kwenye sub yupo YesuChama atawaokoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa dakika hizi sijui.... labda kama kwenye sub yupo YesuChama atawaokoa
Hata hii mechi ataondoka na pointUtopolo atapata point kwa nani?
yaaan nashangaa Yanga inafungwaje na awa watu wamechoka viiTP Mazembe wamekutana na Uto imechoka tu, ila nao hamna kitu
Yaani hata kujiposition tu shida acha mbali kupoteza mipira ovyo
Walisema kaenda Yanga kwa sababu kachoka kukaa Simba bila makombe na anataka kucheza Fainali za Klabu Bingwa.Chama atawaokoa
Dkk ya ngapi nyie wa vibanda umiza
Wakati wa dirisha la usajili hizi kaulu hamkua nazo, mlikua mnatisha watuNilikuwa nasema sana humu kuwa manara nimtu muhimu sana ana uzoefu wa kutosha,wengine walibaki kukebeho kuwa anacheza namba ngapi?maneno hayo yamewapa viongozi kiburi nabado wasipoacha kiburi hata nafasi ya pili kwenye ligi hatutaipata kwa maana bingwa atakuwa Simba.
Wamsajili basi huyo Manara..mnamfanya yy ndo Mungu?Wakati wa dirisha la usajili hizi kaulu hamkua nazo, mlikua mnatisha watu
Wana wenge la kufungwa nje ndani msimu ule. Bado hawajiamini kwamba wanaweza kupata goli zaidi, wameona wapaki loriMbona hawa Tipii madhembe walicheza vzr sana na Alhilal?
HahahahaaaKwa dakika hizi sijui.... labda kama kwenye sub yupo Yesu
Side Mjerumani 🤣🤣