Feisal2020
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,113
- 2,656
Ni huzuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Tulia mlimpa kiburi nyinyi wenyewe Hadi kufika hatuta ya kusema watoke wote abaiki injinia,naye kawatoe waliomsaidia kama manara na haji mfikilwa kabakia na kindoki kamwe priva na wapambe wengine ambayo hawana uwezo kuitoa yanga kwenye hali ngumu inayopitia Sasa,injinia akitaka afanikiwe aache kiburi,chuki na awafuate wale waliomsaidia wakati anaingia madaraka na kupata mafanikio aliyopata.
Hana baya kama Mpumelelo tu
Kibabage hakuna mchezaji pale, sijui anatembea na nani pale Yanga.Wameona mna vijeba nyuma mna pigwa mipira mirefu .kibabage ana baki kuhemea chini
Hii inasababisha Baka kupewa Kadi ambazo si zake kabisa.Aliyetoa wazo la kuachana na Lomalisa alizingua sana, Kibabage anapwaya mpaka Bacca anamcover na kadi juu 😁
Kabisa 😃Hana baya kama Mpumelelo tu
Hii mechi ilikuwa ya kuamka toka usingizini ila wanacheza kama ndondoyaaan nashangaa Yanga inafungwaje na awa watu wamechoka vii