FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

Wakati wa dirisha la usajili hizi kaulu hamkua nazo, mlikua mnatisha watu
 
Dakika ya 80'

Yanga imepiga jumla ya mashuti 12

Na umiliki kwa 52% dhidi ya 48
 
Halafu huyu Baka huyu anatafuta red card
 
Haka kajamaa kanacheza faulo mbaya sana ni basi tu kakutana na refa msabato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…