Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Baba kubwa nakusalimia mama kubwaMTU ambaye Hana Raha ni injinia hebu fikiria nyuzi atazoanzishiwa timu ikifungwa😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba kubwa nakusalimia mama kubwaMTU ambaye Hana Raha ni injinia hebu fikiria nyuzi atazoanzishiwa timu ikifungwa😂😂
Yanga na leo anafilimbwa?
Mtagongwa leo mpaka muombe ujiKawatafute vyura mabondeni huko
KufilimbwaHuko ndo kushinda au
Magoli huwa yanatokea kipindi cha pili, labda leo itokee kufungwa kipindi cha kwanzaHongereni Utopolo kwa kutofungwa hadi sasa dk ya 16
Wakuu mwenye link ya hii mechi naomba aweke hapa.
Sijajua mkuu.Shida ni nini kwanini iwe hivyo Congo?
Subiri kombe la uji wa majongoo keshoMtagongwa leo mpaka muombe uji
Mazembe piga haoSubiri kombe la uji wa majongoo kesho
Shukran kaka.TP Mazembe vs Young Africans free live CAF Champions League 12-14-2024 | 808BALL
Watch TP Mazembe vs Young Africans live stream, 12-14-2024, CAF Champions League live streaming, football live free streaming, analysis, stats, live score on 808ball, 808 ball, 808scoretv, 808score, score808tv.com, afr.score808, afr.808play31.808ball.com
Sisi sio mbu+mbu+mbu = mbumbumbuKufilimbwa
Tuacheni na timu yetuMazembe piga hao
Vyura venzangu hii timu yetu imekuwaje? Maana hata haieleweki...
Yeah...Kumbe wewe ni chura
Utafikiri wanaongoza wao kundi kwa point 6Yanga wako slow sana. Lazima wachapwe na leo