Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Mpira dakika 90Mazembe ana point zetu 6🤣🤣View attachment 3176598
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira dakika 90Mazembe ana point zetu 6🤣🤣View attachment 3176598
Na Mimi nimewapiga mkwara hao 😃Hujui kama Simba Wote mpaka melo Maxence Melo naye Yanga 🤣🤣🤣
Itakuwa Melo kawapiga Mkwara
Ngoja kina Labani og redio joseph1989 Chukwu emeka ukikaidi utapigwa2 waone hii comment.......utakomaMatch za kimataifa tuwaachie Simba
Mbna hatariii hii, Mlokole wa watu wame muharibu hadi ari na nguvu zake za zamani.Sindano..! Yanga kuhama Azam Complex ni baada ya njama zao kubainika.
Bila Azam, leo tungewaona wachezaji wote wa Yanga ni nyota.
Dakika za jiiooni wameweka LiveHujui kama Simba Wote mpaka melo Maxence Melo naye Yanga 🤣🤣🤣
Itakuwa Melo kawapiga Mkwara
Na kweli ilikua sindano, azizi ki shuti lake linadakwa tena penalty?Siku hizi hachomei Sindano sindano
Kesho hakuna mateso wewe acha mchezo na MnyamaLeo na kesho ni zamu ya taifa kuingia katika mateso
🤣🤣🤣🤣Dakika za jiiooni wameweka Live
Au walidhani mpaka Half Time Yanga itakuwa imerudisha?
mna roho mbayaYanga kufungwa Leo na TP Mazembe, Simba kucheza kesho na CS Sfaxien!
Wanadhani jina la mwakarobo ni rahisi kulipataUzi tumeachiwa Tupwisa
😀😃😃😃SawaKesho hakuna mateso wewe acha mchezo na Mnyama
Anachovya chovya sana mitaaniKwani Nzengeli kapatwa na nn? Mbna siku hizi anafanya mahovyo hovyo tyuh uwanjani?