Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara ni jasusi,ndiye anawapeleka wachezaji wa Yanga club na kuwatafutia mademu,ndiye alimuunganisha Aziz Ki na mwanasimba Hamisa Mobeto na pia amewafundisha kuvuta shisha,kwa kweli Haji Manara amejua kuipigania Simba yake.Manara ni tapeli wa mitandao, aendelee tu kuwa utopoloni akiwahujumu kwenye media.
Tayari kimerudiZimebaki sekundeView attachment 3176654
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo mjukuu. Ni pilika pilika tu zilinizidia mjukuu.
Yanga kwishnei mjukuu. Yaani dah!
Tunasubiri kesho mtuheshimishe!
Ila tunatoka😣Vamooos dubeee
Kamera za Azam vipi?🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ TP Mazembe🆚Young Africans SC
📆 14.12.2024
🏟 Stade TP Mazembe
🕖 3pm🇨🇩4pm🇹🇿
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3176171
Kikosi kinachoanza dhidi ya TP Mazembe
View attachment 3176535
Mpira umeanza
Dakika ya 2
Yanga Sc wanafanya mashambulizi
Dakika ya 9
TP mazembe wanafanya mashambulizi
Dakika ya 14
Mudathir anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 23
TP mazembe wanapata kona
Dakika ya 29
TP mazembe wanafanya mashambulizi kwa kasi
Dakika ya 30
Diarra anapatiwa matibabu uwanjani mechi imesimama hapa uwanjani
Dakika ya 40
TPM 0-0 YNG
Dakika ya 41
TP mazembe wanapata goli
Dakika ya 44
Duke anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45+4
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️| #CAFCL
TP Mazembe 1-0 Young Africans SC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3176603
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 51
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 57
TP mazembe wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 61
Mabadiliko anatoka musonda anaingia dube
Dakika ya 64
TP mazembe wanapata Free kick
Dakika ya 69
Mechi imesimama mchezaji wa TP mazembe yupo chini
Dakika ya 76
Mabadiliko anatoka duke anaingia chama
Dakika ya 83
TP mazembe wanapata Free kick
Dakika ya 85
TPM 1-0 YNG
Dakika ya 90+4
Kwa kweli.Yani mechi mbaya kweli wamekutana vibonde wa group