Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnaotaMoya moya
SANDA...😅
Tunacheza na nani?Fin du match tukutane tarehe 28 Toyota cup
Leta kikosi chakoMnashangilia kufunga kikosi C
Cha timu gani?Mnashangilia kufunga kikosi C
Kaizer Chiefs F.C.Tunacheza na nani?
Kaizer ChiefsTunacheza na nani?
Ndo fainali!?Kaizer Chiefs
Ndio maana Diara alikuwa anapoteza muda. Mimi nilidhani ni mechi za kirafiki, kumbe kuna kombe kabisaKaizer Chiefs
Hakuna kombe kuna, timu nne mechi Yanga kacheza mbili tu hajacheza na Mbabane. Ila ndio kamaliza fixture yake ya mualikoNdio maana Diara alikuwa anapoteza muda. Mimi nilidhani ni mechi za kirafiki, kumbe kuna kombe kabisa
😂😂😂😂Ubao unasema 1 bila
Kijana muongo hadi raha.....Uto wamekata moto