FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

Wanetu wa Prison.
Najua mmeangalia game mbili za Mwanzo walizocheza Uto.

Mmeona kabisa jinsi ilivyorahisi sana kuwakaba.
Mkishindwa kuwafunga basi iishe bila bila.
Uwezo mnao.
Mpaka ligi iishe utakuwa kichaa tayari..!! Tunapiga huyo mwana wa makolo FC, mwana wa Mbumbumbu FC, mwana wa wachawi FC kama mlivyopigwa nyie 5. Na baada ya hapo tutaanzisha group la whatsApp la waliopigwa 5 na Yanga..!!
 
Kila la heri kwa Wananchi. 💚💛

Muhimu tu uwanja uwe na unafuu. Maana kwenye msimu huu wa mvua huo uwanja huwa unageuka kuwa jaruba la kupandikizia mpunga.
 
Prison mnachotakiwa ni kukandamiza tu huo mwiko uzame kabisa
FB_IMG_1704882166156.jpg
 
Mpaka ligi iishe utakuwa kichaa tayari..!! Tunapiga huyo mwana wa makolo FC, mwana wa Mbumbumbu FC, mwana wa wachawi FC kama mlivyopigwa nyie 5. Na baada ya hapo tutaanzisha group la whatsApp la waliopigwa 5 na Yanga..!!
Nyie huwa mnakimbia nyuzi maji yakiwafika Shingoni.
Sasa leo mtapoteana mapema sana
 
Leo macho na masikio yangu ni kwa fundi Gwede tu.
Kesho nageuzia kwa Freddy.
Kuna raha fulani kumtizama mchezaji mwenye nia ya kufunga goli lakini anashindwa.

Simba kesho tunataka Pa Omar Jobe aanze.
Ana vitu flani flani vinanivutia sana.
 
Leo macho na masikio yangu ni kwa fundi Gwede tu.
Kesho nageuzia kwa Freddy.
Kuna raha fulani kumtizama mchezaji mwenye nia ya kufunga goli lakini anashindwa.

Simba kesho tunataka Pa Omar Jobe aanze.
Ana vitu flani flani vinanivutia sana.
Neutral..
SAFI.
besday yenu lini?
 
Back
Top Bottom