FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

Hii yanga ya sasahivi sio ile ya kabla ya disemba waliyompiga simba 5 , sasahivi wanacheza kichovu sana . Hawakabi watatu watatu Kama mwanzo , haikimbizi spidi Kama ya zamani , mwamnyeto anacheza Kama Mzee wa Miaka 70.
Dakika za mwisho wanashikilia bomba haikuwa style ya yanga hii .
Hawa wachezaji itakuwa wamezamishwa Kwenye mabwawa ya mademu wa Daressalaam.
Huu ushindi sio wa kufurahia sana sio style ya ushindi wa yanga hii .
Hela za kuhonga wachezaji na waamuzi zimepungua.
Kwa sasa waamuzi pekee ndio wananufaika na pesa za utopolo
 
Amepewa kadi kwasababu aliushika ule mpira.
Na ni Nondo alimpiga push
Tatizo na yeye alianguka kirahisi sana. Kwangu mimi mwamuzi alikuwa sahihi. Kwa mpira wa miguu, purukushani ni jambo la kawaida.
 
Yaani mkuu huku nyuma tuna magarasha mengi sana, mwamnyeto, magolikipa wote hawa wawili msheri na mwenzake metacha, fred[emoji706][emoji706]
Nimemuangalia Eric Johora kwenye mechi kadhaa alizocheza baada ya kuondoka Yanga! Aisee hawezi kulinganishwa uwezo wake na hao walinda mlango wawili.

I wish angerejeshwa msimu ujao ili ampe changamoto Djugui Diarra.
 
Nimemuangalia Eric Johora kwenye mechi kadhaa alizocheza baada ya kuondoka Yanga! Aisee hawezi kulinganishwa uwezo wake na hao walinda mlango wawili.

I wish angerejeshwa msimu ujao ili ampe changamoto Djugui Diarra.
😂😂😂 Huwezi kuwa na Diarra then Goli kipa namba 2 awe vizuri
 
Back
Top Bottom