Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela za kuhonga wachezaji na waamuzi zimepungua.Hii yanga ya sasahivi sio ile ya kabla ya disemba waliyompiga simba 5 , sasahivi wanacheza kichovu sana . Hawakabi watatu watatu Kama mwanzo , haikimbizi spidi Kama ya zamani , mwamnyeto anacheza Kama Mzee wa Miaka 70.
Dakika za mwisho wanashikilia bomba haikuwa style ya yanga hii .
Hawa wachezaji itakuwa wamezamishwa Kwenye mabwawa ya mademu wa Daressalaam.
Huu ushindi sio wa kufurahia sana sio style ya ushindi wa yanga hii .
Tatizo na yeye alianguka kirahisi sana. Kwangu mimi mwamuzi alikuwa sahihi. Kwa mpira wa miguu, purukushani ni jambo la kawaida.Amepewa kadi kwasababu aliushika ule mpira.
Na ni Nondo alimpiga push
Si umeona mlivyoteseka
Nimemuangalia Eric Johora kwenye mechi kadhaa alizocheza baada ya kuondoka Yanga! Aisee hawezi kulinganishwa uwezo wake na hao walinda mlango wawili.Yaani mkuu huku nyuma tuna magarasha mengi sana, mwamnyeto, magolikipa wote hawa wawili msheri na mwenzake metacha, fred[emoji706][emoji706]
Golikipa Metacha Mnata, baada ya Mwamnyeto kufanya kosa la kiufundi.Nani yanga amepewa kadi nyekundu
😂😂😂 Huwezi kuwa na Diarra then Goli kipa namba 2 awe vizuriNimemuangalia Eric Johora kwenye mechi kadhaa alizocheza baada ya kuondoka Yanga! Aisee hawezi kulinganishwa uwezo wake na hao walinda mlango wawili.
I wish angerejeshwa msimu ujao ili ampe changamoto Djugui Diarra.
Kwa maoni yangu yanga spidi imepungua sana sijui nini kimeadhiri hii ,sijui ni ratiba na uchovu au nini lakini muhimu kocha aangalie hii na kushughulikia mapema .Ili tuzuie sio badala ya kuongeza pressure kule mbele
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Johora ni golikipa mwenye vigezo vingi sana vya kuwa golikipa bora. Ni vile tu alipokuwa Yanga hakuaminiwa.😂😂😂 Huwezi kuwa na Diarra then Goli kipa namba 2 awe vizuri
Huo ndio mpira, kikubwa points tatu.Si umeona mlivyoteseka
Ana majereha alipata kwenye mechi ya MashujaaMbona mechi iliyopita aliingia kipindi cha pili! Ni mpango tu ya kocha wetu Gamondi kuona anafaa kuanza.
Tusingebebwa leo, ingekuwaje na jana tumewapa watu wa Mbeya supu ya besdayTunabebwa bila kubebwa hatufiki popote
wa Mchongob😂😂Guede Fc
Prisons wamenyimwa penati ya wazi kabisa.Ngapi ngapi
Kapige wewePrisons wamenyimwa penati ya wazi kabisa.