Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezaji anaitwa Mikwala [emoji1][emoji1][emoji1]We sio wote tunajua kuongea ki adzabe
Hiyo lugha yako kaongee na wenzako shamba huko ndio mtaelewana
Kaja kufurahia mechi....Azizi Ki anafanya nini uwanjani?
Anaomba kazi kijanja huyu
Leo Mukwala anapiga 3. Save my wordsMchezaji anaitwa Mikwala [emoji1][emoji1][emoji1]
Jamaa ni natural striker pressing yake inatishia mabekiLeo Mukwala anapiga 3. Save my words
Jamani mbona najikita kwa mada!??Jikite kwenye mada
'Ubaya Ubwela: Simba SC 1-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024'
Nakubali nakubali mnajimu. Hadi saivi ana moja bado mawili. Dakika bado zinamruhusuLeo Mukwala anapiga 3. Save my words
Hamna kitu humoAhoua anataka kuprove kuwa ni MVP na hili litamgharimu sana
Hivi Awesu sio mkabaji?awesu akicheza 10 pale ndo atakiwasha vizuri
Ila kwa mimi simba inaimarika kaka.Ile mechi nadhani wachezaji na kocha waliambiwa ukubwa wake na vongozi wakajipanga haswa kwavile ni derby. Hivyo wachezaji walipania kutoa surprise kwavile Yanga ndiye anajulikana kama ndiye favorite kushinda. Ni kama tu Yanga ilivyokuwa mbovu ikikutana na Simba ikiwa katika ubora wake wanavyokuwa. Huwezi kuamini kama ndiyo hii Yanga mbovu inaupiga mpira mwingi hivyo, ni upepo wa derby ty
Sio ni mchezaji mchereshaji uwanjani vipasi flani visivyo na madharaHivi Awesu sio mkabaji?