Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Pendekezo lako aletwe nani??Ong bak hajui kupanga kikosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendekezo lako aletwe nani??Ong bak hajui kupanga kikosi
AahaaaaOng bak toa Mutale ingiza Pacome hapooo
Aaagh wapi ndivyo mnenavyo halafu wauni tukikaza buti mnaanza kulialia kama Hidaya.Kumbe mlipinga!😂 sasa ushachelewa
Nabi/GamondiPendekezo lako aletwe nani??
si unamuona madevu pale pembeni inanikumbusha kipindi kile cha kina boccoHivi huyu kocha wa simba huwa anapangiwa kikosi au ni jeuli tu, hivi inakuwaje kocha kila siku anawakumbatia kina mzamiru na kapombe licha ya kuwa wameonyesha uwezo mdogo na kuwaacha wachezaji wazuri kwenye benchi kama okejepha, kagoma na kijili
Full back kama nilivyokwambia hapo juuKapombe na Shabalala wanacheza kama nani,kwenye 4-2-3-1
Muhuni anataka kukaza, hahaJikite kwenye mada
'Ubaya Ubwela: Simba SC 1-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024'
Ile mechi nadhani wachezaji na kocha waliambiwa ukubwa wake na vongozi wakajipanga haswa kwavile ni derby. Hivyo wachezaji walipania kutoa surprise kwavile Yanga ndiye anajulikana kama ndiye favorite kushinda. Ni kama tu Yanga ilivyokuwa mbovu ikikutana na Simba ikiwa katika ubora wake wanavyokuwa. Huwezi kuamini kama ndiyo hii Yanga mbovu inaupiga mpira mwingi hivyo, ni upepo wa derby tyMbona mechi za ngao ya jamii Simba alicheza kwa ufanisi mkubwa sana game zote mbili!??
Balua ni mtuEdwin Balua huyu atakuja kuwashangaza watu
Inabidi wajitahidi wacheze vizuri kama Aza4 au 51mba ama Belouiz4HT
Simba 1-0 Tabora
Tabora wamecheza vizuri kuliko Vitalo
We sio wote tunajua kuongea ki adzabeInabidi wajitahidi wacheze vizuri kama Aza4 au 51mba ama Belouiz4
Vitalo angecheza nusu tu ya hiki alichocheza Tabora alikuwa anaondoka na matokeo safi jana
Simuamini hajapata kashikashi tuHuyu Abdularzack Hamza ni moto jamani,