Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro Simba ya sasa ni bora na ina wachezaji wazuri mkuu.Timu haina muunganiko wachezaji wanakimbia kimbia hovyo, huyu Mutale ni Saido aliyezubaa na Mukwala ni Jobe mrefu. Ong bak atuachie timu yetu na Mo aondoke
Nakataa,kua tatizoBro Simba ya sasa ni bora na ina wachezaji wazuri mkuu.
Mechi ya dabi ilithibitisha hilo.
Ila nahisi Simba anacheza hivi kulingana na aina ya mpinzani aliyekutana naye.
Ndio ndio😂Wacha wee vunja broiler mama uzidi kujambia mbali😁😁😁😁.
Ndio maana upo msupu
Inataka kupambana na Kizimkazi fc ya mama sania.Hii timu ndio inataka kupambana na Yanga kwenye kugombea Ubingwa? Hawako Serious
🤣🤣 Watakula nyingi awa jamaaa hawataaminiHii timu ndio inataka kupambana na Yanga kwenye kugombea Ubingwa? Hawako Serious
Daruwesh kaingia Simba akitokea wapi?View attachment 3073303
View attachment 3073410
Ni jioni ya leo saa 10:15 pale KMC Complex. Ubaya Ubwela
Hamna mkuu sijaiona Simba ikiwa na tatizo.Nakataa,kua tatizo
Daruwesh na Sheikh Hamza wametokea wapi?Daruwesh kaingia Simba akitokea wapi?
Sijawahi kumsikia
Tatizi lipo kubwa sana,shida inawezekana kuwa saikolojia au kocha kulazimisha mfumo?Hamna mkuu sijaiona Simba ikiwa na tatizo.
Mpeni muda huyu kocha ana kitu.
Aya mhaya pis kali.Ndio ndio😂
Mbona mechi za ngao ya jamii Simba alicheza kwa ufanisi mkubwa sana game zote mbili!??Tatizi lipo kubwa sana,shida inawezekana kuwa saikolojia au kocha kulazimisha mfumo?