FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

Nilibet 2M kuitafuta 85k ya faida, angalau saivi i am well rested na moyo wangu. Simba mtatuua jamani, kina Saidoo wale na ubovu wake wote, saivi Tabora angekuwa ashakula 4
Tena kwa uchezaji huu wa Tabora hata kupiga pasi tano hawawezi wangepigwa 5 hawa aisee
 
Tena kwa uchezaji huu wa Tabora hata kupiga pasi tano hawawezi wangepigwa 5 hawa aisee
Umeona enh, Simba ya kina chama ingewaua nyingi sana hawa. Tulikuwa tunabet tume relax kabisa ila naona kabisa simba nitaacha kuwawekea hela saivi.
 
Umeona enh, Simba ya kina chama ingewaua nyingi sana hawa. Tulikuwa tunabet tume relax kabisa ila naona kabisa simba nitaacha kuwawekea hela saivi.
niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyo
 
niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyo
Cap wanatoa ila odds zinakuwa ndogo sana, maana win yenyewe leo niliiwahi ya 1.5, badae nataka kuongeza mzigo nakuta 1.1
 
Back
Top Bottom