Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Khaaaaaubaya uboya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaaaubaya uboya
yule dogo anatakiwa kufanya kitu kimoja tu aache kutaka kuwaaminisha wanasimba kuwa yy alikuwa MVP ndiyo maana kuna wakati anatakiwa kugusa tu anataka kupiga chenga najua yeye mwenyewe anaumia ila atulie afanye mambo ya msingi sio kwamba mbovu kihivyoooAfadhali ya Miquissone aliyeisha kuliko huyo Jean Ahoua.
Halafu upewe wewe?Timu haina muunganiko wachezaji wanakinbia hovyo, huyu Mutale ni Saido aliyezubaa. Ong bak atuachie timu yetu na Mo aondoke
Unabeti kwa hela za mwarabu!?niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyo
Hawana cha kupoteza tena.naona wanaanza kufunguka
Mbili sasa hivi madam,au hauko karibu na luninga!?Hii team ya dunduka fc mbona kama ya daraja la 3 uswekeni. Muda wote wana kigoli kimoja, hawawezi kazi.
Sasa mkuu huwenda usiamini,ila Simba hii itaonesha maajabu ambayo yatawashangaza wengi.Simba tuseme ukweli jamani, bado sana.
Sijawahi kuiangalia sanda, ikicheza na timu nyingine. Bora wapate cha kuongea nao mbele za watu. Maana wana ukame wa magoli sanaMbili sasa hivi madam,au hauko karibu na luninga!?
Hatujamalizana Mrs.Bunji.☺️🔥Ubaya ubwelaa Simba bingwa❤️🤍
Maajabu ya kufungwa goal 5 nyingine labdaSasa mkuu huwenda usiamini,ila Simba hii itaonesha maajabu ambayo yatawashangaza wengi.
Mie nina enjoy hili boli na ngai la Simba.Sijawahi kuiangalia sanda, ikicheza na timu nyingine. Bora wapate cha kuongea nao mbele za watu. Maana wana ukame wa magoli sana