FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

Afadhali ya Miquissone aliyeisha kuliko huyo Jean Ahoua.
yule dogo anatakiwa kufanya kitu kimoja tu aache kutaka kuwaaminisha wanasimba kuwa yy alikuwa MVP ndiyo maana kuna wakati anatakiwa kugusa tu anataka kupiga chenga najua yeye mwenyewe anaumia ila atulie afanye mambo ya msingi sio kwamba mbovu kihivyooo
 
niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyo
Unabeti kwa hela za mwarabu!?
😁😁😁😁😁Hutoboi wewe.
 
Mpira Kimsingi Umeisha.., tujadili vingine Sasa..!

Hivi average age Kwa Hawa Wachezaji Wa Gen 'Z' ni ngapi vile?

Afu, na age average ya Wale vibabu ni ngapi?
 
Hii team ya dunduka fc mbona kama ya daraja la 3 uswekeni. Muda wote wana kigoli kimoja, hawawezi kazi.
 
Back
Top Bottom