Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii timu ilikuwa ya kujipigia 10Inakosa namba 10 na mshambuliaji hatari tu. Tukipata hawa tumemaliza.
☺️🔥Ubaya ubwelaa Simba bingwa❤️🤍Simba bingwa ephen_ Vincenzo Jr
Ubaya ubwegeHuyu skauti ni wa kufukuza, analeta striker galasa
Mukwala anazunguka tu, hamna mtengenezaji, 10 zitoke wapi. Ngoja tuone mabailiko mzamiru na kapombe wametoka.Hii timu ilikuwa ya kujipigia 10
Yule Ahoua ndo hakuna mchezaji.Mukwala anazunguka tu, hamna mtengenezaji, 10 zitoke wapi. Ngoja tuone mabailiko mzamiru na kapombe wametoka.
Tena kwa uchezaji huu wa Tabora hata kupiga pasi tano hawawezi wangepigwa 5 hawa aiseeNilibet 2M kuitafuta 85k ya faida, angalau saivi i am well rested na moyo wangu. Simba mtatuua jamani, kina Saidoo wale na ubovu wake wote, saivi Tabora angekuwa ashakula 4
Umeona enh, Simba ya kina chama ingewaua nyingi sana hawa. Tulikuwa tunabet tume relax kabisa ila naona kabisa simba nitaacha kuwawekea hela saivi.Tena kwa uchezaji huu wa Tabora hata kupiga pasi tano hawawezi wangepigwa 5 hawa aisee
Acha tu. Anatakiwa kufanya kazi haswa kuziba pengo la cccYule Ahoua ndo hakuna mchezaji.
Afadhali ya Miquissone aliyeisha kuliko huyo Jean Ahoua.Acha tu. Anatakiwa kufanya kazi haswa kuziba pengo la ccc
niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyoUmeona enh, Simba ya kina chama ingewaua nyingi sana hawa. Tulikuwa tunabet tume relax kabisa ila naona kabisa simba nitaacha kuwawekea hela saivi.
Umeona enh, Simba ya kina chama ingewaua nyingi sana hawa. Tulikuwa tunabet tume relax kabisa ila naona kabisa simba nitaacha kuwawekea hela saivi.
Cap wanatoa ila odds zinakuwa ndogo sana, maana win yenyewe leo niliiwahi ya 1.5, badae nataka kuongeza mzigo nakuta 1.1niliweka QAR 1000 kuwapa simba handicap. ilikua najamba kidogokidogo kwa presha. hawa pimbi sio wa kuwapa kabisa wanaweza kukuletea gonjwa la moyo
Tulia, wewe hela huna tatizo au itakuwa unabet vya buku bukuUnaachaje Kuweka Hela Kwa Gen Z' ? Unataka uweke Kwa Vibabu.?