FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

Wale wa kuchukua maneno kutoka A kupeleka B kisa tuu Ally kamwe na komwe lake kasema kwa wivu wake ... na wao sasa kila comment hii timu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita... huku wakiungua moyoni kama wamewekewa matunuru... ni wivu tuu
Wanaume kamaa mabinti...
 
Screenshot_20240819-111416_WhatsApp.jpg
 
Wale wa kuchukua maneno kutoka A kupeleka B kisa tuu Ally kamwe na komwe lake kasema kwa wivu wake ... na wao sasa kila comment hii timu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita... huku wakiungua moyoni kama wamewekewa matunuru... ni wivu tuu
Wanaume kamaa mabinti...
Timu za shirikisho zote ni mbovu
 
Hamna Jema nyie watu.

Hao wa last season mnaosema walikuwa Bora kuliko hawa wa Sasa hebu wataje..😜
Hao wanatapata baada ya kuona hakuna usalama...achana nao...
Kwao season iliyopita maoni yao yalikuwa hivi.....
Chama ni konokono au wa mechi ndogo
Saidooo alikua babu
Kibu alikua mkimbiaji
Baleke alikua butu hatulii langoni
Beki zetu zilikua zimechanika
Mzamiru babu
Nakadhalika...
Sasa cha kushangaza....malizia mwenyewe
 
Kufanyaje...

Wenye timu yetu hata ya msimu uliopita hatukuona baya lake.

Takwimu za ubaya UBWELA zinasema kinyume na wakosoaji wake.

Ni kama ni lazima Simba iwe bingwa ndiyo timu iwe nzuri siyo sawa.
Kumbuka wao hapo wana point 36 za buree kwa timu walizozidhamini😆😆😆😁😁😁😊😊😊😊🤒🤒🤒🤒
 
Wale wa kuchukua maneno kutoka A kupeleka B kisa tuu Ally kamwe na komwe lake kasema kwa wivu wake ... na wao sasa kila comment hii timu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita... huku wakiungua moyoni kama wamewekewa matunuru... ni wivu tuu
Wanaume kamaa mabinti...

Hamna Jema nyie watu.

Hao wa last season mnaosema walikuwa Bora kuliko hawa wa Sasa hebu wataje..😜
Yanga wana roho mbaya sana. Mimi mwanangu sitakubali awe mshabiki wa hii timu, nitaitumia Yanga kama case study ya tabia mbaya zilivyo. Hizi roho za fitna siyo nzuri kwa afya ya mtu, sijui wanaishije nazo
 
Yanga wana roho mbaya sana. Mimi mwanangu sitakubali awe mshabiki wa hii timu, nitaitumia Yanga kama case study ya tabia mbaya zilivyo. Hizi roho za fitna siyo nzuri kwa afya ya mtu, sijui wanaishije nazo
Yaani wao Kila siku ni kuitakia mabaya Simba...enzi zile wanaswaga vyura pale vidimbwini walikuwa kazi Yao kupokea timu zinazokuja kucheza na Simba.... Hawa jamaa hawa...😃😄😆
 
Yaani wao Kila siku ni kuitakia mabaya Simba...enzi zile wanaswaga vyura pale vidimbwini walikuwa kazi Yao kupokea timu zinazokuja kucheza na Simba.... Hawa jamaa hawa...😃😄😆
Bado wapo kwenye ushabiki wa kizamani wa kuombeana mabaya
 
Yanga wana roho mbaya sana. Mimi mwanangu sitakubali awe mshabiki wa hii timu, nitaitumia Yanga kama case study ya tabia mbaya zilivyo. Hizi roho za fitna siyo nzuri kwa afya ya mtu, sijui wanaishije nazo
Ndo maana hawana nuru nyuso zao...hawana afya...roho mbaya ni sumu..😀😀😀
 
Huyu refa ni janga, nahisi yupo kwenye pay roll ya MO
IMG_5206.jpeg
 
Back
Top Bottom