Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiria mwezi wa 10No naomba vita na nyie ubaya ubwela😁😁
Mimi nina mpango wa kukufuata huko Simba😉No naomba vita na nyie ubaya ubwela😁😁
Una D ngap kwanza ? Huku hakuna supu ya bure.Mimi nina mpango wa kukufuata huko Simba😉
Hiyo ni web lakini nime capture kuangalia output nakutana na blank screenTumia web inakubali
Kapombe na ShabalalaMimi ni Yanga ila hii simba jamani inakaribia kujipata, hapo ukitoa Kapombe tu, ni balaa, haha
Form 6 nina D 2😂😂Una D ngap kwanza ? Huku hakuna supu ya bure.
Leo nipo na nyinyi mpo kwenye mkeka wangu mkichoma Nita laani sana Cc ephen_Huu ni unafki mkuu😁😁
Fanya hivi tumia brave webHiyo ni web lakini nime capture kuangalia output nakutana na blank screen
Unaipima dhidi ya Tabora? Quality ya wachezaji wa Simba Vs wa Tabora inafanana? Match fitness ya Simba vs Tabora je inafanana?Mimi ni Yanga ila hii simba jamani inakaribia kujipata, hapo ukitoa Kapombe tu, ni balaa, haha
Nimekugundua wewe ni mwananchiiii🔥Kwa mpira huu, bado sanaaa...
Zinafanana ndio, kwani zote ni team za league kuu.Unaipima dhidi ya Tabora? Quality ya wachezaji wa Simba Vs wa Tabora inafanana? Match fitness ya Simba vs Tabora je inafanana?
😁😁😁Kwa mpira huu, bado sanaaa...
Tatizo kocha anapangiwa kikosi Cc ephen_Kwa mpira huu, bado sanaaa...
Kushinda mechi 20 mfululizo unachukulia rahisi sana sio? Usisahau oktoba unakutana na Wana ubaya ubwela original kabisa😃kitu ambacho wanatakiwa kufanya Simba tunajua wanatengeneza timu lakini haijalishi itakuwa vipi wapate ushindi kila mechi hii itawaongezea morali zaidi baada ya mechi 20 watakuwa wamekaa sawa na matokeo wanayo