Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndioWoyoooooo! Simba bingwa😉
KabisaSimba washaanza kupigana namba
Nakuja nakujaaa dada akee😂🔥Karibu kwenye Ubaya Ubwela Mdogo wangu..
Kelele cha chura hatuzitakiWoyoooooo! Simba bingwa😉
Aisee😅😅Mutale anatoka anaingia Awesu
Na Mimi nakuja allow me 😎😁😂Nakuja nakujaaa dada akee😂🔥
Ukichukua kila parameter lazima ukute Simba ipo juu ya Tabora. Haya njoo na parameters zinazoonesha Tabora kumzidi Simba au hata kulingana. Twende kwa hoja. Mimi nimetoa parameter tatu ya kwanza ni squad budget, ya pili squad quality na ya tatu ni match fitness. Haya njoo na parameters zako weweUnataka tuipime na mbeya city au..?
Comparison should be on all parameters, usijichagulie kichaka chako cha kufanya comparison alafu vingine una ignore.
Twende zetu Simba tumfate min akeeNa Mimi nakuja allow me 😎😁😂
Leo tupo naeTwende zetu Simba tumfate min akee
Leo tupo nae
Ndio ndio Simba bingwaSako kwa Bako!☺️
Wing-back inatumika katika formation kama 3-5-2 au 3-4-3 au vyovyote tu ili mradi ucheze na mabeki wakati watatu.Wewe unaonaje
Jua Kali Cc ephen_Kwanini simba inacheza slow sana,shida ni wachezaji,mfumo, saikolojia,kocha au fitness?
Ukweli sioni ufundi....pasi zinapotea kirahisi kabla ya kufika eneo la D la mpinzani..Kwanini simba inacheza slow sana,shida ni wachezaji,mfumo, saikolojia,kocha au fitness?