Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Simba bado sana, maamuzi yao yapo slow, hawafikirii kwa haraka na kufanya maamuziMimi ni Yanga ila hii simba jamani inakaribia kujipata, hapo ukitoa Kapombe tu, ni balaa, haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba bado sana, maamuzi yao yapo slow, hawafikirii kwa haraka na kufanya maamuziMimi ni Yanga ila hii simba jamani inakaribia kujipata, hapo ukitoa Kapombe tu, ni balaa, haha
Anajua sana boli Cc ephen_Huyu Balua angengua sio mtanzania angeimbwa sana
Ni kweli kabisaSimba bado sana, maamuzi yao yapo slow, hawafikirii kwa haraka na kufanya maamuzi
Anajua mpiraAnajua sana boli Cc ephen_
Kumbe Mo kadanganya aliposema kikosi cha Simba ni cha billion 7 maana Tabora kikosi chao hata bilioni moja hakijafikisha.Zinafanana ndio, kwani zote ni team za league kuu.
Unataka tuipime na mbeya city au..?Unaipima dhidi ya Tabora? Quality ya wachezaji wa Simba Vs wa Tabora inafanana? Match fitness ya Simba vs Tabora je inafanana?
Comparison should be on all parameters, usijichagulie kichaka chako cha kufanya comparison alafu vingine una ignore.Kumbe Mo kadanganya aliposema kikosi cha Simba ni cha billion 7 maana Tabora kikosi chao hata bilioni moja hakijafikisha.
Kwani Simba wanatumia mfumo wa Wing-back?Mimi ningekuwa kocha sehemu ya kuifanyia marekebisho ni wingback
Ndio hamjui mchezsji fund...huyo hamna kitu,.. tofauti ni ndogo ni KIBUAnajua mpira
SawaNdio hamjui mchezsji fund...huyo hamna kitu,.. tofauti ni ndogo ni KIBU
Wewe unaonajeKwani Simba wanatumia mfumo wa Wing-back?
Sana yaani sanaMwanetu min -me atafurahi leooo
In mutale voice Cc ephen_ 😎🤣😁🤣Hakuna hiyo ubaya ubwela
Woyoooooo! Simba bingwa😉Hakuna hiyo ubaya ubwela
Karibu kwenye Ubaya Ubwela Mdogo wangu..Mimi nina mpango wa kukufuata huko Simba😉