FT: Uganda 0-1 Tanzania: Kufuzu Afcon 2023 group E

Watu wanazipenda Simba na Yanga kuliko hata timu Yao ya Taifa!Angalia Uzi umepoaaaa!
 
Huyu kocha kaingia na kichaa chake inakuwaje hakuna namba mbili halisi Wala namba tatu halisi zaidi ya job na huyu dismas,

Kocha anatafutiwa lawama za kuonekana hafai
Ukisema Halisi Una Maana Gani Mkuu
 
Mliopo live huko hivi Kakolanya anapiga 11, sababu nilikuwa napitia sofascore hapa namcheki yupo dimbani...
 
Beki ya Yanga inaenda kupigwa tena na Vipers labda Manula awabebe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…