FT: Uganda 0-1 Tanzania: Kufuzu Afcon 2023 group E

Naona kila mchezaji anajichezea tu. Pass zinachelewa kutoka, yan ilimradi mchezaji kagusa na katoa mpira.

Hakuna kinachoeleweka
Kocha mgeni huyo, hizi wiki mbili ulitegemea afundishe kitu gani kwa wachezaji kieleweke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…