mganda og
Senior Member
- Feb 23, 2023
- 134
- 445
Karibuni tena katika mechi kubwa ya kimataifa baina ya miamba wa soka hapa Afrika ya Mashariki, Uganda dhidi ya Tanzania katika kutafuta nafasi ya kufuzu Afcon 2023.
Mechi hii itapigwa kuanzia mida ya saa 11 jioni katika dimba la Suez Canal Jijini Ismailia na itarushwa na Azam sports kupitia chanel ya ZBC2
Kuwa nami paka mwisho...
=============
Mpira Umeisha: Tanzania yashinda kwa goli 1-0 dhidi ya Uganda, mfungaji wa goli hilo ni Simon Msuva
Tanzania inaongoza kwa goli 1 , goli limefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 68
Mechi hii itapigwa kuanzia mida ya saa 11 jioni katika dimba la Suez Canal Jijini Ismailia na itarushwa na Azam sports kupitia chanel ya ZBC2
Kuwa nami paka mwisho...
=============
Mpira Umeisha: Tanzania yashinda kwa goli 1-0 dhidi ya Uganda, mfungaji wa goli hilo ni Simon Msuva
Tanzania inaongoza kwa goli 1 , goli limefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 68