[emoji23][emoji23][emoji23]Wananchi [emoji617] game bado sana hii. Tunaita Chomoa ushinde
Usigombane na bia mkuu piga kinywajiJamaa wameshajua udhaifu wetu Yanga hata bia haipandi tena Mamamanina
Hiki ni zaidi ya kipigo mkuu, ni kisago.Duh hiki kipigo kitatuacha kila sehem ya mwili inauma
Kumbe wameweka Gu ScreenBora hiyo screen Jangwani waizime tu.
Wazee Watapigana hapo.
Ha ha ha labda ndotoniHahaaaa harafu pimbi moja limeshiba mihogo linasema yanga ndo inaheshimisha ligi yetu mamaaaeeeee
Hahahaaa. Lol.Hatukimbii uzi wetu, japo aliyeanzisha ana gundu la jana.
Mpira dakika 90 chochote kinaweza tokea. Aziz Ki ana goli lake moja π
Pole Mtani jamani..[emoji1787]Hatukimbii uzi wetu, japo aliyeanzisha ana gundu la jana.
Mpira dakika 90 chochote kinaweza tokea. Aziz Ki ana goli lake moja [emoji41]
Mpaka utosini[emoji24]Duh hiki kipigo kitatuacha kila sehem ya mwili inauma
Ninamtoa upepo huyo dunduka FC tu πππππ nikimuacha atanisumbua mpk dk 90.Hahahaaa. Wazungu wana kauli yao wanasema relax.
Ndo mpira huo My dear huhitaji kuvurugwa saaana. π