Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Naliona pia...La 3 linakuja
Wanakufaga hawaMnunulie maji ya kunywa
Beki imekatika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mmmkDuh hiki kipigo kitatuacha kila sehem ya mwili inauma
Huwa zipo hivyohivyo siku zote, sema ushabiki wa kijinga huwa unawafanya msione lolote.beki za leo zimezubaa kinyama
Ameingia kapandisha...
Sahii hata hajui ikoje...
Namuona anabishana na Refa tu..
Aigooo[emoji23][emoji23]mmmmh