FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

Duh! Mbona toka mwaka umeanza huandiki logic?

Kwamba uzi kuanza mapema ndiyo washinde

Yanga kule yupo kama ihefu ata kwenye betting kapewa odds 5

Means ni mdaifu atafungwa ata 4
Na africain alipewa odds ngapi!?
 
Ewe Mungu wa kisasi
Mungu unayesawazisha wasio na maumivi ili wawe na maumivu ili dunia iwe sawa

Nakuomba usimame nasi sasa
Amina
 
Yanga wakicheza vizuri wakiacha yake makosa yao ya kuzembea dakika za mwanzonj wanaweza kupata hata point moja maana wapinzani wao wapo vizuri pia na wana vimbinumbinu tofauti na wale waliofungwa hapo...
Wasijisahau tu na kikosi kiwe cha kuua wasiachwe wachezaji nje akitegemea Sub waarabu wakikuua mapema wanasumbua sana...
 
Yakwako yamekushinda unatafuta ya wenzio.
Ombi langu kwako, usikimbie poste yako, maana wananchi wanaenda kuendeleza walipo ishia.
 
Muda ufike wakandwe tano baba akifa kwa gono mama lazima age kwa kaswende , gono na ukimwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…