Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Sio mbaya Mkuu.yaan leo tupo sambamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Sio mbaya Mkuu.yaan leo tupo sambamba
lipo waz🤣🤣🤣 Kwa kweeeli.
Japo Mtani punguzeni matarajio ya kwamba na sisi tutashindwa ili muweze kulala vizuri usiku wa leo.
tukutane saa tatu hapa hapa😂Hahahaaa. Sio mbaya Mkuu.
😂😂😂😂Kila la kheri Chama kubwa
tuko pamojaaaaa tuungane kwaupendo tuwashangilie,monastir😂Kila la kheri monastir
rudi ukalale acha kuota ndoto mchanaaMonastir 1-2 Yanga
Naona uchungu bado haujaisharudi ukalale acha kuota ndoto mchanaa
Waze wa pira Tunisia wanaupiga leo, mjiandae kwa burudani majirani.View attachment 2514325
⚽️ US Monastir🆚Young Africans SC
🗓 12 February 2023
⏱ 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ
🏟 Uwanja wa Rades, Tunis
🏆 CAFCC
Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku sana.
Hawa najua wanatusagia kunguni tu hawana loloteNa kwa akili zao basi wanajua Yanga na yeye atafungwa na kufungwa huko wanajua ni zaidi ya lile goli walilofungwa wao. Teh teh
#Mbumbumbubana.
Kwa bao moja??? HHahaaa
Uto wamebahatisha kuingia makundi kama Jwaneng Galaxy mwaka ule .. na kilichofuatia ni vipigo vya mbwa mwiziAta na club African yanga alipewa odds 6 mwisho wa siku ilikuaje?
View attachment 2514496