Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
mtzedi mie kwangu nina Kisimbuzi cha Azam Pekee na ndo nachekia hizo mechi huko.Boko ndo aliwabeba wale kwa Mkapa watakutana na mtema kuni mwenyewe. Hivi mechi ya Shirikisho inarushwa na Dstv au huwa wanarusha Klabu bingwa tu? Shadeeya
Sasa sijui kama na hao Dstv wanaonyesha ama la. Ngoja waje wenye Dstv watukhabarishe.