Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Nilikua nawaza tu.Katupia wavuni tayariiii au? [emoji849][emoji51]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua nawaza tu.Katupia wavuni tayariiii au? [emoji849][emoji51]
Unataka kuniambia mkuu umeshahama Chaputa?Mimi Ekyoma nikiwa na akili zangu timamu nasema hapa Yanga akishinda naachana na demu wangu mwenye msambwanda wa maana niliyempatia JF 2021
NjaaTutashinda [emoji736]
Tusiandikie mate wakati wino upo mkuu, Cha muhimu hatutaki visingizio..mkia endelea kuugulia maumivu ya kupigwa na wale wabovu wasiojua hata kupiga pasi 3
Haitokaa itokee nikahama kwenye hilo chama mkuu ñdo maana sioni shida kumuacha shemeji yakoUnataka kuniambia mkuu umeshahama Chaputa?
Kujilipua tu🏃🏃Haitokaa itokee nikahama kwenye hilo chama mkuu ñdo maana sioni shida kumuacha shemeji yako
Mudathir?? Matapigwa kama ngomaPale Mudathir ..pale aucho...pale aziz k...pale fiston...pale bangala...na hapo Doumbia...langoni namwona Djigui Diarra...
Full time, mon 3 young 1
Tunaombea tu tusisikie khamsa khamsa el Yangha khamsa khamsa. Yasije kuwapata ya Vipers.🤣🤣🤣 Kwa kweeeli.
Japo Mtani punguzeni matarajio ya kwamba na sisi tutashindwa ili muweze kulala vizuri usiku wa leo.
Natunza comment yako.Uto wakipata japo sare leo naacha kushabikia mpira rasmi.
Hao sio marefa wa bahasha. Hakuna cha fair hapo chezeni mpiraYanga iko vizuri kitimu, refa akiwa fea itapata point 1 au zote 3
Tusubiri tuone
Hapo kwenye kuipa 60% Utopolo rudia kulala uote upya.Hua natabia ya kuota vitu baadhi huwa ni kweli. Nimeota Mshindi wa leo atashinda kwa magoli 2 au 3. Goli moja kati ya hayo itakua la kujifunga. Sijui ni timu gani hasa itakayoshinda. Ila kupitia ndoto yangu naipa Yanga 60% na mpinzani 40%.
Ngoja tuone itakavyokua!
I'm crossed my fingers and Waiting 🤗
Asiyetaka basi. 😂Bada ya Jana wale wazurulaji wa kimataifa kuliaibisha taifa, leo mabingwa wa nchi na timu ya Wananchi wa Tanzania Young Africans Leo wanaenda kulipa taifa raha![]()
![]()
![]()
![]()