FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

Ujue saa 3 usiku sio mbali sana. Kuna mijitu inaenda aibisha taifa kwa kurukaruka uwanjani ifikapo saa 1
Tayari mijitu fulani mijinga jinga ilishaliabisha taifa Jana. Taifa haliwezi pata aibu mara mbili mkuu[emoji1732]
 
Tayari mijitu fulani mijinga jinga ilishaliabisha taifa Jana. Taifa haliwezi pata aibu mara mbili mkuu[emoji1732]
Kuna aibu italipata Taifa mwaka huu na inaanza leo saa 1 usiku. Ngoja tuone. Mwenda wazimu anaaza tena kunyolewa wakati alishapotea
 
Hawa Mikia Kila wakiwaza mara ya mwisho tulichokifanya hapa Stade Olympique de Rades, mavi yanawagonga vyupi vyao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Nawakumbusha tu Yanga akishinda Kuna watu wataugulia maumivu mara mbili.. yaani Jana na Leo[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Mwamnyeto apewe heshima yake senior captain anaanziaje bench?
 
Kuna aibu italipata Taifa mwaka huu na inaanza leo saa 1 usiku. Ngoja tuone. Mwenda wazimu anaaza tena kunyolewa wakati alishapotea
Ngoja tuone mpira Dak 90, ila anaejua anajua tu Mzee. Kwa Sasa Yanga wanajua boli hata machizi wa milembe wanajua hili[emoji23][emoji23]. Ukibisha waulize viongozi na wajumbe wa mkutano mkuu wa Simba ajenda Yao kuu ilikuwa nini kama sio kumfunga Yanga...
 
Hawa Mikia Kila wakiwaza mara ya mwisho tulichokifanya hapa Stade Olympique de Rades, mavi yanawagonga vyupi vyao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Nawakumbusha tu Yanga akishinda Kuna watu wataugulia maumivu mara mbili.. yaani Jana na Leo[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Na asiposhinda itakuwa ukweli kinyume chake🤣
 
Back
Top Bottom