Halal bao 2 ? Afu kuna fisi wenu kisinda yeye ni mambio hata mpira hajagusa mpaka akatolewa dakika ya 70Hapana unajua shida Guinea kule kama masaa hayaeleweki hivi. Yaani ukipigwa kimoja ni dharau sana...
Acha kunikaasirikia, sihusiki na kipigo chenuKwa hiyo Jana ukuni uliokuwa darini ulikuwa unaucheka uliokuwa unaungua jikoni sio
Kwani anayevaa vizuri siku zote kwenye arusi ni bibi arusi ili arusi ifane.Waarabu wameunganisha ndani kwa ndani.Dakika ya 10 na 15 bila kutoa.Na jezi kali vile alafu mmefungwa 🤔
Hehehe hili swala ungelisema wakati nipo hapo ningeaiangalia hiyo nchi, ila sasa sikuiona wakati huo[emoji23].
Hapo Busisi kwema lakini Ahjumma?
Yani bora hata wangeweka small screen watu wasione wangeweza hata kujipa matumaini kuwa yalikuwa ya penatiHapana unajua shida Guinea kule kama masaa hayaeleweki hivi. Yaani ukipigwa kimoja ni dharau sana...
Draw waipatie wapi hao uto dhidi ya Tp Mazembe?Tp Mazembe mtawafanya nini hapo Mkapa?
Mkijitahidi sana ni draw.
Yule jamaa wa power dynamos hakuwepo leo?Kwa Uto mikimbio ni kipaumbele
Kisinda ni Kibu aliyechangamka😄😄😄😄😄Halal bao 2 ? Afu kuna fisi wenu kisinda yeye ni mambio hata mpira hajagusa mpaka akatolewa dakika ya 70
Daima mbele na wakati mko nyuma kwa point 3?Daima mbele 💛💚💛💪
Lakini leo kagusa mara nyingi kuliko topu skoa wetuKisinda ni Kibu aliyechangamka😄😄😄😄😄
Bora kibu jana alitoa pasi moja matata sana 🤣🤣Kisinda ni Kibu aliyechangamka😄😄😄😄😄
AsnckblvkbkdtgnHili limepita, tujipange kuvuna point kwa Mazembe wiki ijayo.
Wewe upo nyuma Kwa pwointi ngapi[emoji23][emoji23]Daima mbele na wakati mko nyuma kwa point 3?