Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tunatazama mechi ijayo,hii imepitaDaima mbele na wakati mko nyuma kwa point 3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatazama mechi ijayo,hii imepitaDaima mbele na wakati mko nyuma kwa point 3?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyu Nabi hiyo timu Yake Ya Home...!
Huenda Moyoni anafurahia Jinsi Mambo yanavyoenda..huwezi jua.!
Hapo Bado hatuna hakika Na Manara Kwa Matokeo Haya Moyoni anafurahia au ni Kweli anaumia..!
Mamluki Sio Watu..!
Wewe upo nyuma Kwa pwointi ngapi[emoji23][emoji23]
Tunatazama mechi ijayo,hii imepita
[emoji23][emoji1787]Monastir ni Ihefu iliyochangamka
Citizens waliotuaibisha kwenye big screenMpaka wakati mwingine,mara nyingine
Daima mbele,nyuma mwiko 💛💚💛💚💛💚💛💚💪💚💛💚💛💚💪,we will baunsi baki
Come on you Citizens
Unataka kuturudisha enzi ya TANU eeh 😄😄😄😄😄 bora wameona palipovujaYani bora hata wangeweka small screen watu wasione wangeweza hata kujipa matumaini kuwa yalikuwa ya penati
Mmeanza...!!! Mlitegemea nini zaidi ya hicho mlichopata!? Ncho hii mtawala ni mmoja tu kimataifa. Weekend ijayo mnakwenda kulitia aibu kubwa Taifa.Approach yake ya away ni ovyo, away anza kwa kujilinda kwa kutafuta sare hivyo viungo wakabaji ni muhimu.
Team selection ni ovyo, Lomalisa sio mchezaji wa kukaa benchi. Ni mrefu na ana offer vitu vingi kuliko Kibwana.
Yule beki wa kutoka Mali kaletwa kama urembo sio kwaajili ya mechi za kimataifa ama.
Mayele kawa floppy wa mechi ya leo na hakustaili kumaliza dakika 90, ni mmoja wa mchezaji aliyeharibu move nyingi.
Big screen maana yake hata yule aliyekaa siti ya nyuma mwishoni naye kaonaUnataka kuturudisha enzi ya TANU eeh 😄😄😄😄😄 bora wameona palipovuja
Hata mimi nilikuwa natania tu kama nimekukwaza niwie radhiMkuu hapa ni utani tu wa mpira,huko unakokwenda bahati mbaya sijafunzwa hivyo hata kama tunatumia fake names......tunaenjoi tu ila tuheshimiane
Na nyie refukeniHii gemu ilikuwa yetu sema hawa jamaa wametuzidi urefu ndio kinacho wasaidia
View attachment 2515160
Palipovuja???.Yalikuwa mafuriko ila binti karidhika na shela yake mpya.Unataka kuturudisha enzi ya TANU eeh 😄😄😄😄😄 bora wameona palipovuja