Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Yanga mnaingiza taifa kwenye aibu nzito sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikimbie baki hapa hadi kifurushi cha wiki mpewe 😀Mambo leo ni 🔥🔥🔥🔥🔥 ushindi ni lazima luv Makiwendo tuko pamoja 😍😍😍😍😍😍
Dah!...hawa ni Waarabu original kuliko Africain..Yalaaaa. Kazi ipo leo.
Tumeanza vizuri ila ghafla kibao kimegeuka. Lol.
10' GOOOOOOOOOOOOOO Yanga wanafungwa goli la kwanza
[emoji460]️ US Monastir[emoji739]Young Africans SC
[emoji1001] 12 February 2023
[emoji935] 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ
[emoji909] Uwanja wa Rades, Tunis
[emoji471] CAFCC
Kikosi cha Yanga
Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku mnene tukifurahi ushindi
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo umeanza
2' Yanga wameanza kwa kasi, Kisinda anapata nafasi ya kukimbia na mpira
10' GOOOOOOOOOOOOOO Yanga wanafungwa goli la kwanza
16' GOOOOOOOOOOOOOOO, Yanga wameruhusu magoli mawili ndani ya dakika 16
[emoji23][emoji23]jinga weweNajitahidi kucheka kwa namna inayo mpendeza mungu [emoji16]
Labd washinde njaaSipati picha hawa mbuzi wakishinda, tutalala mapema sana..
Niache huko, nimeshavurugwa muda huu 😏😏😏😏😏Usikimbie baki hapa hadi kifurushi cha wiki mpewe 😀
Ndio maana jana hawakuwa na raha kabisaKumekucha ndugu mwana JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamelouwaaaa wamelouwaaaa wamenyeshewa na mvuaaaaa
Yani hii nchi tufanyage vitu vingine tuu..Aibuu tunapata sisi huku aisee kama Taifwaaa