Andres
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 502
- 815
Umepigwa na daraja la kwanza,duuuh.
Daraja la pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepigwa na daraja la kwanza,duuuh.
Leo umepimwa korona na lile jiti la kuingiza m*unduni.Nimefurahi kuona mrembo kama wewe kushabikia Simba
Unajifariji na aibu yako.Kwa mashabiki wenzangu wa Yanga
Haya matokeo ni mazuri japo hatuwezi kufurahi kufungwa, hii Ni friend match ila jambo zuri imetuma alert kwamba inabd tukaze zaidi. Japo tuna big squads with quality players + best technical batch, lakn Kuna team inaweza kutufunga.. Hii Ni alert inabd tukaze ili tutumize lengo letu.
Mwsho Mikia FC endeleeni kushangilia tumepoteza point 3 muhmu leo[emoji23][emoji23][emoji23]
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Endeleeni kushangilia tumepoteza point 3 muhmu leoUnajifariji na aibu yako.
Unafurahia utopoloKwa mashabiki wenzangu wa Yanga
Haya matokeo ni mazuri japo hatuwezi kufurahi kufungwa, hii Ni friend match ila jambo zuri imetuma alert kwamba inabd tukaze zaidi. Japo tuna big squads with quality players + best technical batch, lakn Kuna team inaweza kutufunga.. Hii Ni alert inabd tukaze ili tutumize lengo letu.
Mwsho Mikia FC endeleeni kushangilia tumepoteza point 3 muhmu leo[emoji23][emoji23][emoji23]
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Magazeti ya Tanzania yana dhambi sanaKwa Piston wamepigwa.
Alikata pumzi mapemaa.
🤣🤣🤣🤣🤣Magazeti ya Tanzania yana dhambi sanaView attachment 1696512
Mbumbumbu Fc [emoji23][emoji23]Ndiyo maana mpira wa Tz umedumaa kwa akili na fikra za kimbumbumbu namna hii
mimi co Yanga lkn huwezi kuiita Asc timu ya ovyo ovyo utakuwa hujui mpira wwDaah aibu sana kufungwa na vitimu vya ovyo ovyo namna hii dooh tena huku mkiwa full kiasi hiki
Kama Africans Sport ni timu ya ovyo, na ikaifunga Yanga ambayo katika mechi 2 na simba msimu huu Yanga kashinda mechi moja na nyingine ikaisha sareDaah aibu sana kufungwa na vitimu vya ovyo ovyo namna hii dooh tena huku mkiwa full kiasi hiki